clubzila |
    View all
  • Explore
  • Login
  • Getting started
0%
King Senior

King Senior

Active Content creator

Get access Tsh1,000.00/mo Tip
Facebook
Twitter
WhatsApp
Email
Text message
Copy link
  • 8 Posts
  • 8 Photos
  • 0 Videos
  • 0 Audio
  • 0 Files
About me

8 Likes 1 Subscriber Tanzania, United Republic of Member since 01 Apr, 2025 Welcome to my page. If you like my content, please subscribe.

GURU🦌

© 2025 clubzila |
  • Terms of Service
  • Privacy
  • About us
  • How it works
  • Cookies Policy
  • Support
  • Contact us
  • Blog
  • English
    English Español
Pinned Post
King Senior
King Senior @SeniorKing01
SMS 12 ZA MAHABA

 THREAD🧵

Ujumbe mzuri kwa mpenzi wako usiku huu

-Thread 
1.Nilikupenda wakati    nilipokutazama machoni pako. Leo, upendo huo umebadilika na kuwa heshima, uaminifu na amani. Ninashukuru kuwa na wewe katika maisha yangu, mpenzi wangu!

2.Moja ya furaha ya maisha yangu ni kukufanya utabasamu.

3.Usiku huu ni mrefu ajabu, kuna baridi kali kuliko maelezo, natamani ungekuwa pembeni yangu nipate joto lako!
Ingawa upo mbali nami, lakini amini kuwa nakupenda kwa mapenzi yangu yote, lala salama dear, mwaaaaa!

4.Barabara ya maisha ni ndefu, lakini niko na wewe wa kusafiri naye.

5.Rafiki yangu mwaminifu, rafiki yangu mpendwa, mpenzi wangu. Nina ndoto ya ulimwengu ambapo sisi wawili tungeishi kwa miaka mingi tukipendana kila siku.

6.Pamoja na wewe, ninahisi nyumbani. Ninahisi amani na ninaweza kustahimili chochote.

7.Inanihuzunisha sana kwenda kulala na kuamka bila wewe kando yangu.

8. Asante kwa kuwa sababu kubwa na nzuri zaidi ya furaha yangu ya kila siku.

9.Kila ninapovuta hisia ya kuwa na wewe nachanganyikiwa, natumia mto pembeni yangu naufananisha na wewe, nakupenda mpenzi!

10.Najua unanipenda mpenzi wangu, lakini urembo wako unaniweka roho juu, angalia usihadaike na walaghai, napenda mpenzi wangu!

11.Nafsi yangu inafurahia ya kwamba
wewe ndio chaguo langu, ubavu wangu
tabasamu

1
Facebook
Twitter
WhatsApp
Text message

Pinned Post
King Senior
King Senior @SeniorKing01
Njia Saba (07) Za kumfanya mwanamke awe teja Na mlevi wa Penzi  lako

-Thread 🧵

Mfanye awe chizi na apagawe na penzi lako acha kuwa kama mjinga mjinga ,wauni watakusaidia majukumu bro.

CODE UNLOCKED 👇

01. KUMSHAMBULIA

mweke ukutani, weka mikono yako kila upande wa uso wake, na kumbusu kama maisha yako yanategemea hilo. Papasa mikono yako kupitia nywele zake na kumbusu shingo yake. Jamaa weka nywele zake hovyo, zivurugike kabisa

02.VUA NGUO POLEPOLE KWA MAWASILIANO YA MACHO

vua nguo zake polepole iwezekanavyo, kifungo kwa kifungo na usifu mwili wake unapofanya hivyo, ondoa sidiria yake na gesi kwenye matiti yake, ondoa chupi na mwambie jinsi unavyopenda K yake

.03. JALI MATITI YAKE SIO CHUCHU TU.

chuchu ni sehemu moja tu ya titi lake. Usipuuze matiti yake mengine. kuwabusu, kuwalamba na kucheza nayo. Na kuyabana pia

4.MFURAHISHE

jambo la mwisho unapaswa kugusa ni K yake. Zingatia sehemu nyingine ya mwili wake. kuchukua muda wako sasa, kulamba na bembeleza makalio yake, tumbo, matako na chini yake. kulamba na busu mapaja yake ya ndani bila kupiga mbizi kati yake.Mpige mabusu mepesi kwenye mkono wake, tumbo, bega na paja la ndani. Hii itaongeza utayari ili kufika wakati yuko uchi kabisa, tayari atakuwa amesisimka vibaya mno.

5.MSAPOTI ANACHOPENDA 

Kama demu ni wakishua au anaenda na wakati wa kisasa. Wengi wao wanapenda matoy haya kisasa kujisugua nayo ili kujiongezea msisimko.

Msapoti kwa kushika hilo toy na kupitisha maeneo mbalimbali ya mwili yanayompa raha zaidi. .Pitisha mikono yako kwenye K yake. Hii itamfanya aombe zaidi.

6.HAKUNA RAHA KAMA KUMNONG'ONEZA

wanawake sio kama movie mzee msisimue kama mwanaume basi mpe maneno yako. pongeza mwili wake, mwambie jinsi unavyommiss. mnong'oneze "msichana mzuri" katika sikio lake. Maneno haya yatampeleka kwenye ukingo wa kilele.Mfanye ajisikie kuwa huru akiwa na wewe

7. MIGUNO

Miguno inaongeza hisia kwa mwanamke inamfanya aone anachofanya kimekumaliza.

Hakikisha unapomkiss au kudibua vikombe vya denda unatia miguno, unanyonya maziwa yake tia miguno, unapomtia vidole kunako jomba miguno ni muhimu.Hii pia inamfanya akuoneshe kila aina ya utundu alionao.

Inaonesha unafurahia

Facebook
Twitter
WhatsApp
Text message

Pinned Post
King Senior
King Senior @SeniorKing01
MAKOSA (7) YA  KUEPUKA SIKU YA KWANZA KUONANA ΝΑ MWANAMKE (MPENZI) WAKO.

Thread 🧵

1. Epuka kutaka NGONO siku ya kwanza kuonana, punguza Desperate ya Sex, wakati ukifika utapewa mpaka usaze.

2. Usimuulize umri wake siku ya kwanza kuonana kwenu, Nyamaza mpaka wakati wake ufike atakuambia mwenyewe.

3. Epuka kuuliza kama ana watoto, ikiwa unastahili kujua atakuambia mwenyewe on the spot.

4. Usimuulize kuhusu kazi au kipato chake siku ya kwanza, tulia wakati wa kujua utafika atakuambia.

5. Usiwe Mkali, Kutumia pesa nyingi, kumshikashika, au kumlazimisha asichohiari kufanya siku hiyo.

6. Jizuie kuonana naye mara ya kwanza Lodge, Hotel room fulani labda kama hauna mipango mikubwa naye.

7. Usifake maisha, usiazime gari au suti ili kuongeza status, kaa kwenye code za uwezo wako akufahamu hivyo.

1
Facebook
Twitter
WhatsApp
Text message

Pinned Post
King Senior
King Senior @SeniorKing01
MBINU (10) ZA KUEPUKA UTUMWA WA PENZI JIPYA

Thread 🧵

1. Mpigie simu, ongea naye kidogo kata simu, Balance kiherehere chako.

2. Punguza kumtafuta wewe kila siku, "Two way traffic" siku zingine kuwa busy na issue zako, mkaushie.

3. Usimpe zawadi mara kwa mara, usimpe zawadi kubwa sana na epuka kumhudumia mwanzo wa penzi.

4. Usilale njaa ili yeye ale wala kulia usiku kucha kisa yeye, muonyeshe hata bila yeye unaweza kujitegemea.

5. Usijali kila lalamiko lako, usionyeshe kumjali sana, atachukua advantage ya kukutumia kwa faida zake.

6. Usimpe Sex ili kuimarisha penzi, au ili kulinda penzi lisivunjike, kama linakufa acha life... otherwise utatumika kingono usivyoweza kuhesabu 😁

7. Kama amesema usipomhudumia bora muachane, acha kweli kumhudumia na kama penzi linakufa acha life, Otherwise utapigika kipumbavu.

1
Facebook
Twitter
WhatsApp
Text message

Pinned Post
King Senior
King Senior @SeniorKing01
NEW FIVE (5) GUIDANCE UNAPOINGIA KWENYE PENZI JIPYA

Thread 🧵
1. Punguza matarajio makubwa.

Usipokutana na expectations zako kwa huyo mpenzi utakuwa Disappointed .Na si kwamba hakufai tatizo ni Disappointment unapoyakosa matarajio yako kwake.   Kama ni mtoaji hela utapewa Kama ana mauno feni utayakuta.

2. Don't commit yourself kwa Mpenzi

Kuwa loyal but don't commit to him/her early, Mapenzi hufa, uhusiano huvunjika utakuja kulia mpaka makamasi
Epuka kujibidiisha uonekane unafaa, ishi simple with strategies, penzi likimwagika na wewe unayeyuka, kwaheri.

3. Usijipe cheo cha El shadai au Messiah

Penzi jipya umeshachangia hela za ujenzi, Kodi ya nyumba unalipa, matatizo ya familia yao umeyabeba, unajiona John Cena🏋️‍♂️ Wa mapenzi .Mapenzi will humble you, Usifanye yasiyokuhusu, you'll cry badly😰

4. Study you spouse Don't tolerate.

Mjue vizuri na si kumvumilia, unayoyaona jipime je akiwa wako milele upo tayari?
Usijipe assignment ya kiroho et hakuna mkamilifu, nitamuombea atabadilika, utakonda, utakufa utamuacha anadunda. Nakupa pole, Pole kutoka moyoni

5. Ukitumia hisia Utakufa

Akili kwanza, acha kuchizika na mahaba, inuka na tazama ulivyo wa thamani.

Ukitumia hisia unakufa siku sio zako, hata kwenye upumbavu utapoteza muda ukiamini unavumilia. Utahisi jini maimuna kumbe upumbavu  wa hisia unakumeza 

Mwisho, Fanya chaguo sahihi.

1 1
Facebook
Twitter
WhatsApp
Text message

Pinned Post
King Senior
King Senior @SeniorKing01
MAMBO (9) MWANAUME (19-30 YRS) HUJAWAHI KUAMBIWA.

Thread 🧵

1. Hakuna tuzo ya kuzalisha watoto mitaani, unaongeza mzigo, umaskini, migogoro na maumivu kwa uzao wako.

2. Mwanamke uliyemshawishi Abebe Mimba na leo umemkataa, machozi ya labour na kilio chake vikifika miguuni pa Mungu umekwisha.

3. Kujifungua mtoto si kama kutoa haja kichakani, Matusi, usaliti, dharau na dhihaka kwa Mfyele utauponza bro

4. Kama hutaki mtoto kabla ya kuoa wala nje ya Ndoa, PROTECT YOUR SPERMS.

Kuna wanawake ni wabinfasi atashika mimba makusudi atakudispoint.

5. Kuzaa watoto wako wote kwa MAMA mmoja ni Baraka na Mafanikio kwa familia yako.

6. Umeumbwa na tamaa, ila Ukimwi, Umaskini, Magonjwa ya zinaa, Kutengwa mbali na Mungu vitakufuata ukiziheshimu tamaa zako.

7. Kumpa Mwanamke kila kitu atakacho kisa kasema usipompa hatakupa NGONO, Wewe ni kibogoyo uchapwe viboko kikao cha wanaume kijacho, unatumika

8. Kuzalisha wanawake watoto mitaani unatuharibia future wives wetu, wengine hatutaki watoto wenu kwenye ndoa zetu, Be smart Bro.

9. Leo utajisifia una watoto 3 au 5 ila ipo siku utaumia na kuujutia ujana wako, pesa haitakaa, mkeo hatakuelewa, utasumbuka sana.

3
Facebook
Twitter
WhatsApp
Text message

Pinned Post
King Senior
King Senior @SeniorKing01
MAMBO (7) ASIYOTAKA MWANAMKE WAKATI WA TENDO

Thread 🧵

1. Mwanaume kumaliza sex na kuondoka.

Unapomaliza kusex na kuinuka unaondoka anaumia, anahisi kukatiliwa vibaya kihisia, anaweza asije tena, mwanamke anahitaji angalau dk 20 za kuongea nawe after Sex, wako hivyo!.

2. Usifike kitandani na kuanza sex.

Mwanamke anahitaji maongezi kiasi fulani ili akili yake iwe active kwaajili ya tendo, unapofika na kuanza tendo anajisikia kuvamiwa.

3. Kukojoa na kuchomoa papo hapo...

Wanawake hutamani mwanaume unapomaliza usichomoe haraka, uendeleze kwa dk kadhaa 2 au 3 mpaka uume usinyae wenyewe, kwao inawapa raha fulani, ukichomoa haraka unamkosesha kitu fulani.

4. Usimwage nje

Baadhi yao bila kukojolewa ndani hawajapata raha ya tendo, hao mara nyingi huwa makini na kalenda zao, ukipiga show ukamwaga nje anaumia sana, sometimes wengine kumwagiwa ndani huwasaidia kufika kileleni haraka.

5. Epuka matumizi ya simu bedroom

Kutumia simu wakati mmekubaliana mpo chumbani kwaajili ya sex, mwanamke anakwazika, unamfanya ahisi thamani yake akiwa uchi ipo chini kuliko simu yako, unamuumiza kutojaliwa.

6. Kutozisoma nyakati zake kihisia.

Kuna wakati atakuonyesha kwa matendo kuwa yupo tayari kwaajili ya sex, halafu wewe unapuuza, unakuwa kama unataka mpaka aseme kabisa "Njoo unit*mb*" inamkata sana, jiongeze.

7. Kutoshukuru au kutoonyesha Appreciation.

Unamaliza kama bubu, hakuna "Asante" au hata kusema umefeel vipi au kwa kiasi gani umekuwa impressed na sex yake, anaweza kusema Asante yeye, basi na wewe sema kitu (rate/recommend/feedback)

1
Facebook
Twitter
WhatsApp
Text message

Pinned Post
King Senior
King Senior @SeniorKing01
JINSI YA KUJENGA UHUSIANO IMARA NA KUDUMU

Pt 1

Wanawake wanapenda tendo la ndoa kama wanavyopenda pesa, na wanaume wanapenda amani kama wanavyopenda tendo la ndoa. 

Ili kuhakikisha mahusiano yanadumu na kuwa yenye furaha, ni muhimu kuelewa mambo kadhaa muhimu.
1. Kuwa Single Mpaka Umpate Mtu Sahihi.

Hakikisha unajitunza na kuwa peke yako mpaka umvutie mtu ambaye yupo tayari kukupenda bila masharti. Usilazimishe mahusiano.

2. Jifurahishe Mwenyewe.

Toka mwenyewe, nunua zawadi kwa ajili yako, na jitunze.

Huna haja ya kuwa katika uhusiano ili kufurahia maisha yako. Furaha yako haipaswi kutegemea mtu mwingine

3. Chagua Mtu Sahihi.

Jambo baya zaidi maishani ni kuwa na mwenza asiye sahihi. Badala ya kuhofia upweke, chagua mtu atakayekamilisha maisha yako na kukuletea furaha ya kweli.

4. Tafuta Mshirika wa Timu, Si Roho Pacha.

Mapenzi pekee hayatoshi kwa uhusiano wa muda mrefu. Tafuta
mtu ambaye ni mshirika wa kweli na yuko tayari kushirikiana nawe katika kujenga maisha yenu

Facebook
Twitter
WhatsApp
Text message

Fill Your Details
Login with Google
or
Forgot Password?
    Don't have an account?
    Two-Step Authentication
    We have sent you a code to your email
    Resend code