

MAPENZITIPS @mapenzitips
Ready to Master the Art of Attracting High-Quality Women?
Kama wewe ni mwanaume ambaye umewahi kujiuliza:
"Kwa nini naishia kuvutiwa na wanawake wasio sahihi?"
"Kwa nini wanawake wazuri wanaonekana wako mbali namimi?"
"Nawezaje kuvutia mwanamke wa hadhi ya juu bila kujipendekeza au kupoteza nguvu zangu kama mwanaume?"
...basi eBook hii imeandikwa kwa ajili yako.
Sio siri dunia ya mahusiano leo imejaa kelele. Kuna watu wanaogopa kuonekana 'desperate,' kuna wanaume wanajaribu kuwa 'nice guys' wakiamini watalipwa kwa hilo, lakini badala yake wanaishia kuachwa, kuachwa pending, au kukosa kabisa mvuto.
Lakini hapa, hatuongei kuhusu jinsi ya kumpendeza mwanamke. Hatuongei kuhusu "mbinu za kuigiza ili uonekane uan confidence."
Tunazungumzia jinsi ya kuwa mwanaume ambaye wanawake wenye kiwango hawata thubutu kukupuuza.
Ukitaka kuingia kwenye mahusiano ya kweli na mwanamke anayejiheshimu, anayekuona kama kiongozi, rafiki na mwanaume kweli Basi lazima ujenge msingi wa kupata hiyo heshima kutoka ndani.
Na msingi huo ndio nitakuongoza kuujenga, hatua kwa hatua.
Let’s begin.
1. KWA NINI UNAENDELEA KUVUTIA WANAWAKE WASIO SAHIHI
Huu ni ukweli mgumu kukubali, lakini ni kweli:
Wanawake unaowavutia ni kioo cha hadhi yako (kwa sasa), na inaweza kubadilika.
Wanawake wa kiwango cha chini wanavutiwa na mwanaume ambaye hana dira, anatafuta approval, au yupo tayari kupokea chochote ilimradi kinamtoa kwenye upweke.
Unapojiuliza kwa nini kila mwanamke unayemvutia anakuwa mzigo wa kihisia kwako, drama nyingi, au asiyejua anachotaka — tafuta jibu lako kwenye:
*Mipaka uliyojijengea .
*Hali yako ya kihisia: Je, unatafuta kupona au kujenga?
*Namna unavyojionesha: Je, unaongozwa na tamaa au Nia?
Habari njema ni kwamba, Unaweza kubadilisha hiyo hali.
Lakini ni lazima uache kujiendesha in default mode. Lazima uanze kwa kuamua kuwa mwanaume mwenye mwelekeo.
2. WANAWAKE WA KIWANGO CHA JUU: WAO NI NANI NA WANATAKA NINI?
Kwanza, tuelewane:
Mwanamke wa kiwango cha juu sio tu mrembo, anayependeza machoni. Ni mwanamke ambaye:
*Ana heshima binafsi
*Ana clarity ya maisha yake
*Ana feminine energy iliyotulia ,si drama queen
*Ana uwezo wa kusaidia mwanaume kukua, na sio kumvuta chini.
Wanawake wa aina hii hawaangalii tu pesa au mwonekano kwa mwanaume. Wanangalia:
Frame yako — unaishi vipi?
Uongozi wako — unaelekea wapi?
Msimamo wako — unaweza kusimama kwenye misingi yako?
Ukweli wako — uko kweli au unavaa mask?
Hawa wanawake hawavutwi na mwanaume anayejaribu kuwa perfect. Wanavutwa na mwanaume anaejitambua, mwenye udhaifu wake lakini bado anamiliki hadhi yake.
Na kama hutaki aina hii ya mwanamke, bado hujajua thamani yako.
3. JIJENGE KWANZA KABLA HUJAJENGA UHUSIANO
Kabla hujafikiria kumshawishi mwanamke yeyote, jiulize: "Ninapomwambia 'nakupenda' . je ni nani yeye anapenda? Mwanaume wa aina gani?"
Wanaume wengi huingia kwenye mahusiano wakiwa bado hawajajijua. Hawana misimamo thabiti, hawana dira, hawajui wanataka nini — na wanategemea mwanamke aje kuwaleta utulivu na mwelekeo wa wapi wanapaswa kwenda.
Tatizoni kwamba Mwanamke mwenye kiwango, hataki kuwa dira yako. Na 100% Hataki kulea mwanaume.
Anataka kujiunga na mwanaume ambaye tayari yupo kwenye safari yake. Mwanaume mwenye ndoto zake, viwango vyake, falsafa zake, na maisha yake.
*Kama hujui:
*Unataka nini maishani
*Unasimamia nini
*Unamruhusu nani akae karibu yako na kwanini.
...basi hujajijenga bado.
Jijenge kwa:
*Kuwa na maamuzi yanayoendana na mwelekeo wako
*Kusimamia muda wako — si kila mtu anapaswa kuupata
*Kuweka malengo na kuyafuata — si kuishi kwa reaction
*Kuheshimu nafsi yako — kwa maneno, kwa mavazi,na kwa choices zako.
Jenga msingi wako. Si kwa lengo la kuwapendeza wanawake. Ili kujiamini hata kama wanawake hawapo.
Na hiyo energy — ya mwanaume aliye kamili (mwenyewe) — huvutia mwanamke sahihi kama sumaku.
4. NGUVU YA UANAUME WA NDANI (MASCULINE ENERGY)
Wanaume wengi leo wamefundishwa kuwa wema, wapole, na waelewa — lakini hawajafundishwa kuwa wanaume wa msingi imara.
Hii haimaanishi kuwa mkali au kuonesha ubabe nje. Inamaanisha kuwa na mamlaka, ambayo hayategemei sifa kutoka nje.
Masculine energy ni hali ya kuwa na....
ENDELEA KUSOMA SEHEMU 13 ZA E-BOOK HII....
HII NI OPERATION "KINGS" BE AMONG THE KINGS!
JIPATIE NAKALA YAKO UPATE BONAS YA E_BOOK NYINGINE!!
click here to unlock the post

MAPENZITIPS @mapenzitips
MICHEZO MOTO MOTO YA CHUMBANI ITAKAYOFANYA PENZI LAKO LISIPOE ABADAN...
Kuna wakati unakutana na mpenzi wako na mnakuwa bored kwakua hamna vitu vya vipya vya kufanya kuchangamsha penzi, na hii ni changamoto kubwa sana kwa wengi walioko kwenye mahusiano ya muda mrefu, baada ya muda vitu ni vilevile kwahiyo mapenzi yanapoa. Hivyo basi hii list ya bedroom games zitasaidia mapenzi yawe moto kama mwanzo.
Kwa hiyo,ukiwa tayari kwa michezo weka kando simu , peaneni muda wa kufurahia na kujifunza tena kupendana zaidi na zaidi.
Michezo hii itawapa nafasi ya kufurahia wakati wenu pamoja,na kuongeza hisia za mapenzi kwa njia rahisi Sanaa..
Tuanze na…
MCHEZO WA KARATA
Mchezo huu niwa ushindani kati ya wapenzi wawili, na adhabu za mchezo huu zinaufanya mchezo kuwa moto zaidi.
Jinsi ya Kucheza:
Chagua mchezo wa kadi rahisi:
Cheza mchezo wowote wa kadi ambao nyote wawili mnauweza
Kila anaposhindwa mmoja wenu anavua nguo moja.
Mchezo unamalizika wakati mmoja amebaki uchi au wote wamebakisha nguo kidogo, au wakati mmoja wenu aki give up!
Pro tips:
Vaeni nguo sexy, lingerie au mavazi mepesi yakuvutia.
Zawadi ya kimahaba kwa mshindi itakua ndio hitimisho la mchezo huu.
Mshindi ata.....
ENDELEA KUSOMA HAPO CHINI..
click here to unlock the post

MAPENZITIPS @mapenzitips
Hot bedroom games to spice up your love Life click here to unlock the post