About me
            
                            
                                 1 Likes
                
                              
              
                            
                 Tanzania, United Republic of
              
              
              
                 Member since 30 Apr, 2025
              
              
                            
                Jina: Allan Ben  
Taaluma:  Mtaalamu wa Mipango Miji (Town Planner)  
Majukumu ya Ziada: 
- Mwandishi wa Riwaya za Kijamii na Kuelimisha  
- Muelimishaji wa Rika kuhusu Maendeleo na Maadili  
- Mtoa Hoja Fikirishi kwa Maendeleo ya Jamii  
Maudhui Ninayotoa: 
Ninawaletea maudhui yanayochochea fikra, yanayobeba mwelekeo wa kiroho, kijamii na kiuchumi 
Pia kuwaburudisha watu wa rika zote
Karibuni sana